Angélique Kidjo Lyrics
"Malaika"

4.5 / 5
4 reviewers
Do you like this song?
(click stars to rate)
save!
my lyricsbox
Malaika, nakupenda Malaika.
Malaika, nakupenda Malaika.
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika.

Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika.

Pesa zasumbua roho yangu
Pesa zasumbua roho yangu
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
Ningekuoa Malaika.

Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika.

Kidege, hukuwaza kidege.
Kidege, hukuwaza kidege.
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika.

Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika.
This song is from the album "Keep On Moving: The Best Of Angelique Kidjo", "20th Century Masters" and "Spirit Rising".